John njoroge michuki biography
John Njoroge Michuki
John Njoroge Michuki (* 1932) ni mfanyabiashara na mwanasiasa nchini Kenya.
Michuki ni mwenyeji wa wilaya ya Muranga alikozaliwa katika familia ya Wakikuyu. Alisoma A-levels huko Mangu High School pamoja na Mwai Kibaki halafu uchumi kwenye chuo kikuu cha Oxford (Uingereza).
Kati ya 1970 na 1979 alikuwa mwenyekiti wa Kenya Commercial Bank.
1983 alijiunga na siasa akiwa mbunge wa KANU kwa Kangema na kupewa vyeo mbalimbali serikalini.
Kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1992 akajiunga na chama cha upinzani Ford-Asili akarudishwa bungeni tena mwaka 1997 kwenye tiketi ya Ford-People.
2002 alisimama upande wa NARC akaingia katika serikali ya kwanza ya rais Mwai Kibaki kama waziri wa usafiri na uchukuzi. Alikuwa maarufu kwa ukali jinsi alivyowalazimisha wenye matatu na madereva kutii utaratibu wa barabarani pamoja na kuweka mitambo ya kupakana mkasi wa mwendo wa gari na kanda za usalama.
2005 akawa waziri wa usalama wa ndani. Katika kipindi hiki alipata sifa mbaya kwa kuamuru uvamizi wa ofisi za gazeti la East African Standard pamoja na kituo cha televisheni cha KTN. Vilevile mauaji ya watu wengi walioangaliwa kuwa wafuasi wa kundi la Mungiki yalihesabiwa kuwa yalitokea chini ya mamlaka yake Michuki.
Katika serikali ya Januari 2008 Michuki amekuwa waziri wa barabara na kazi za umma.
Viungo vya Nje
[hariri | hariri chanzo]John Njoroge Michuki (1 December 1932 – 21 February 2012) was a Kenyan politician and businessman. He was born at Muguru, village, Iyego Location, Kangema Division in Murang’a District. He was educated in Kenya and abroad. Michuki emerged as one of the prominent and long-serving civil servants and politicians as well as a businessman in Kenya. Michuki served Kenya in various capacities, including Permanent Secretary in the Finance Ministry, Chairman of the Kenya Commercial Bank, Member of Parliament and Cabinet Minister. He was serving his 4th five-year term as a Member of Parliament for Kangema Constituency. Michuki had a reputation as a "ruthless" and efficient manager, and was widely acknowledged as among the best performing ministers in President Kibaki's Government. He was serving as
| Property | Value |
|---|---|
| dbo:abstract |
|
| dbo:almaMater | |
| dbo:birthDate | |
| dbo:birthPlace | |
| dbo:deathDate | |
| dbo:party | |
| dbo:termPeriod | |
| dbo:thumbnail | |
| dbo:wikiPageExternalLink | |
| dbo:wikiPageID | |
| dbo:wikiPageLength |
|